Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.
2 Pet 3:18
Tukue na Tufanikiwe kwenye
1. Ndani ya Neema
2. Katikati ya kujifunza kumjua Mungu
Kwanini tukue na tufanikiwe
Kwa sababu Yesu anao utukufu
Kama tukiongezeka na kufanikiwa basi tutapata utukufu wake.
Utukufu maana yake ni uwepo wa Mungu katikati ya maisha yako.
Amen
No comments:
Post a Comment