Saturday, December 18, 2021

Mshukuru Mungu

Kuna aina nyingi za kumshukuru za Mungu 

1. Kabla ya kukupa kitu
2. Baada ya kukupa kitu
3. Umepata au hujapata
4. Umekosa vyote... 

1.    unaweza kupitia magumu kama ayubu . Mshukuru Mungu 

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nili uchi, nami nitarudi tena huko uchi vilevile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.
Ayubu 1:21 

2.umepata kitu kwa uchache . Mshukuru Mungu 

Basi Yesu akaitwaa ile mikate, akashukuru, akawagawia walioketi; na kadhalika katika wale samaki kwa kadiri walivyotaka.
Yohana 6:11 

3. Umeponywa kama wakoma kumi , rudi kumshukuru mungu 

akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Luka 17:16 

4  . Umepata / haujapata mshukuru Mungu maana bado anakufadhili .......

Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.
Zab 118:1 

Kuna nguvu katika kumshukuru 💪💪

No comments:

Post a Comment

Makala nyingine

IMPORTANCE OF OUR TESTIMONIES IN THE CHURCH

Mathayo 8:1-4 Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.  Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, u...