Tuesday, June 27, 2023

Mtume Yohana (The revelator)

Watu wana mkubali sana apostle paulo  . Hata mimi namkubali. Ila kuna mwamba mmoja anaitwa apostle john The revelator.
Huyu mwamba  kipindi wanafunzi wa  Bwana Yesu wamemkimbia Yesu Kristo.  Yeye alibaki  na kusema kama kufa nitakufa nae. Hakutoka pale chini ya msalaba till End.

Ndiye mwanafunzi wa Yesu ambaye kifo chake hakikuwa cha kikatili, 
Injili alizoandika zote zilikuwa zakuonyesha Upendo wa Yesu.  
He is the Lover Man
Alikuwa ndo mtume mdogo kuliko wote. 
Na ndiye aliishi miaka mingi.....

Mitume wangekuwa katika watoto wa Yakobo basi ningemfananisha na Benjamin 
Maana alikuwa madogo kuliko wote na alipata vitu vingi katika mgao wa zawadi za Yusuph.Alikuwa kipofu lakini aliona yaliyo sirini...
Aliandika akasema Yesu ndiye Alpha & omega

No comments:

Post a Comment

Makala nyingine

IMPORTANCE OF OUR TESTIMONIES IN THE CHURCH

Mathayo 8:1-4 Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.  Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, u...