Monday, August 14, 2023

Nyenyekevu

 Luka chapter 5 verse 1 to 11

Biblia inatufundisha vitu 2

1. Unyenyekevu _petro

2. Nguvu ya Neno


Mungu hutumia watu wanyenyekevu ili kuwafanya wawe watumishi wake.

Petro aliombwa boti na Yesu ili awahubiri watu na akatoa . 

Petro hakumjua Yesu ni nani, petro hakumuwazia Yesu kama ni mtumishi wa uongo. Alimpa boti kwa moyo wake wote.


Watu wengi sasa huchagua watumishi na kudharau madhehebu.... Hawana unyenyekevu wala uvumilivu, wako tayari ku comment vibaya kazi Mungu kama wao walikuwepo kipindi Mungu anampa kazi mtumishi wake. 


Unyeyekevu ni njia mojawapo ambayo humfanya mtu kuwa na saburi, 

Unyeyekevu ni njia mojawapo ya kujilinda dhidi ya uadui.

Tujifunze kwa petro

No comments:

Post a Comment

Makala nyingine

IMPORTANCE OF OUR TESTIMONIES IN THE CHURCH

Mathayo 8:1-4 Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata.  Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, u...