Luka chapter 5 verse 1 to 11
Biblia inatufundisha vitu 2
1. Unyenyekevu _petro
2. Nguvu ya Neno
Mungu hutumia watu wanyenyekevu ili kuwafanya wawe watumishi wake.
Petro aliombwa boti na Yesu ili awahubiri watu na akatoa .
Petro hakumjua Yesu ni nani, petro hakumuwazia Yesu kama ni mtumishi wa uongo. Alimpa boti kwa moyo wake wote.
Watu wengi sasa huchagua watumishi na kudharau madhehebu.... Hawana unyenyekevu wala uvumilivu, wako tayari ku comment vibaya kazi Mungu kama wao walikuwepo kipindi Mungu anampa kazi mtumishi wake.
Unyeyekevu ni njia mojawapo ambayo humfanya mtu kuwa na saburi,
Unyeyekevu ni njia mojawapo ya kujilinda dhidi ya uadui.
Tujifunze kwa petro
No comments:
Post a Comment